\v 8 Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu - \v 9 yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu. \v 10 Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.