1 line
191 B
Plaintext
1 line
191 B
Plaintext
|
\v 1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa. \v 2 Akasema, \v 3 "Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
|