sw_job_text_reg/39/27.txt

1 line
184 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 27 Je ni kwa agizo lako kwamba tai huruka juu na kufanya kiota chake katika sehemu za juu? \v 28 Huishi katika majabali na hufanya makao yake katika vilele vya majabali, na ngomeni.