1 line
210 B
Plaintext
1 line
210 B
Plaintext
|
\v 4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie. \v 5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
|