sw_heb_text_ulb/10/30.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 30 Kwakuwa tunajua mmoja ambaye aliyesema, "Kisasi ni changu, nitalipa". Na tena, "Bwana atawahukumu watu wake". \v 31 Ni jambo la kuogofya mtu kuangukia katika mikono ya Mungu aliye hai!