sw_heb_text_ulb/03/07.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 7 Kwa hiyo, ni kama Roho Mtakatifu asemavyo, "Leo, kama utasikia sauti yake, \v 8 Usiufanye moyo wako kuwa mgumu kama Waisraeli walivyofanya katika uasi, katika wakati wa kujaribiwa nyikani.