sw_heb_text_ulb/10/38.txt

1 line
217 B
Plaintext

\v 38 Mwenye haki wangu ataishi kwa imani. Kama atarudi nyuma, sitapendezwa naye." \v 39 Lakini sisi si kama wale warudio nyuma kwa kuangamia. Badala yake, sisi ni baadhi ya wale tulio na imani ya kuzilinda roho zetu.