sw_heb_text_ulb/10/23.txt

1 line
369 B
Plaintext

\v 23 Basi na tushikilie kwa uthabiti katika ungamo la ujasiri wa tumaini letu, bila ya kugeuka, kwa sababu Mungu aliyeahidi ni mwaminifu. \v 24 Na tuzidi kutafakari namna ya kumtia moyo kila mmoja kupenda na matendo mema. \v 25 Na tusiache kukusanyika pamoja, kama wafanyavyo wengine. Badala yake, kutiana moyo kila mmoja zaidi na zaidi, kama muonavyo siku inakaribia.