sw_heb_text_ulb/10/15.txt

1 line
225 B
Plaintext

\v 15 Na Roho Mtakatifu pia ashuhudia kwetu. Kwa kuwa kwanza alisema, \v 16 "Hili ni agano nitakalofanya pamoja nao baada ya siku hizo; asema Bwana: nitaweka sheria zangu ndani ya mioyo yao, na nitaziandika katika akili zao".