sw_heb_text_ulb/05/09.txt

1 line
282 B
Plaintext

\v 9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, \v 10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki. \v 11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.