sw_heb_text_ulb/05/07.txt

1 line
259 B
Plaintext

\v 7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa. \v 8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.