sw_heb_text_ulb/08/11.txt

1 line
259 B
Plaintext

\v 11 Hawatafundishana kila mmoja na jirani yake, na kila mmoja na ndugu, yake, akisema, "Mjue Bwana," hivyo wote watanijua mimi, kutoka mdogo hadi mkubwa wao. \v 12 Hivyo nitaonyesha rehema kwa matendo yao yasiyo ya haki, na sizitazikumbuka dhambi zao tena."