sw_heb_text_ulb/07/20.txt

1 line
252 B
Plaintext

\v 20 Na Ujasiri huu mzuri haukutokea pasipo kuzungumzia kiapo, kwa hili makuhani wengine hawakuchukua kiapo chochote. \v 21 Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, "Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele."