sw_heb_text_ulb/07/11.txt

1 line
308 B
Plaintext

\v 11 Sasa kama ukamilifu uliwezekana kupitia ukuhani wa Lawi, (hivyo chini yake watu hupokea sheria), kulikuwa na hitaji gani zaidi kwa kuhani mwingine kuinuka baada ya mfumo wa Melkizedeki, na siyo kuitwa baada ya mpangilio wa Haruni? \v 12 Kwa hiyo ukuhani ukibadilika, hapana budi sheria nayo kubadilika.