diff --git a/11/27.txt b/11/27.txt index 222f76c..a2de308 100644 --- a/11/27.txt +++ b/11/27.txt @@ -1 +1 @@ -\v 27 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa alitoka Misri. Hakuhofia hasira ya Mfalme, kwa kuwa alivumilia kwa kutazama kwa asiyeonekana. \v 28 Ilikuwa ni kwa imani kwamba aliishika pasaka na kunyunyiza damu, ili kwamba mharibu wa mzaliwa wa kwanza asiweze kuwagusa wazaliwa wa kwanza wa kiume wa waisrael. \ No newline at end of file +\v 27 Ilikuwa ni kwa imani Musa alitoka Misri. Hakuhofia hasira ya Mfalme, kwa kuwa alivumilia kwa kutazama kwa asiyeonekana. \v 28 Ilikuwa ni kwa imani aliishika pasaka na kunyunyiza damu, ili kwamba mharibu wa mzaliwa wa kwanza asiweze kuwagusa wazaliwa wa kwanza wa kiume wa waisrael. \ No newline at end of file diff --git a/11/29.txt b/11/29.txt index cd9c50b..f348bbf 100644 --- a/11/29.txt +++ b/11/29.txt @@ -1 +1 @@ -\v 29 Ilikuwa ni kwa imani kwamba walipita katika bahari ya shamu kama katika nchi kavu. Wakati wamisri walipojaribu kupita, walimezwa. \v 30 Ilikuwa ni kwa imani kwamba ukuta wa Yeriko ulianguka chini, baada ya kuuzunguka kwa siku saba. \v 31 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale ambao hawakuwa watiifu, kwa sababu alikuwa amewapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama. \ No newline at end of file +\v 29 Ilikuwa ni kwa imani walipita katika bahari ya shamu kama katika nchi kavu. Wakati wamisri walipojaribu kupita, walimezwa. \v 30 Ilikuwa ni kwa imani ukuta wa Yeriko ulianguka chini, baada ya kuuzunguka kwa siku saba. \v 31 Ilikuwa ni kwa imani Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale ambao hawakuwa watiifu, kwa sababu alikuwa amewapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 85b1787..f437483 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -101,6 +101,7 @@ "11-17", "11-20", "11-23", + "11-27", "11-29", "11-32", "11-35",