sw_heb_text_ulb/06/01.txt

1 line
354 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 1 Kwa hiyo, tukiacha tulichojifunza kwanza kuhusu ujumbe wa Kristo, twapaswa kuwa na juhudi kuelekea kwenye ukomavu, tusiweke tena misingi ya toba kutoka katika kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu, \v 2 wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. \v 3 Na tutafanya hivi ikiwa Mungu ataruhusu.