sw_ecc_text_reg/10/18.txt

1 line
199 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 18 Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa. \v 19 Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.