1 line
225 B
Plaintext
1 line
225 B
Plaintext
|
\v 7 Ingawa kazi yote ya mtu ni kujaza mdomo wake, ila hamu yake haishibi. \v 8 Hakika ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu? Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu?
|