sw_deu_text_reg/33/09.txt

1 line
189 B
Plaintext

\v 9 Mtu aliyesema juu ya baba na mama yake, “Sijawaona. ” Wala hakuwatambua kaka zake, wala hakuzingatia juu ya watoto wake wenyewe. Kwa maana alilinda neno lako na kushika agano lako.