sw_deu_text_reg/09/21.txt

1 line
214 B
Plaintext

\v 21 Nilichukua dhambi zenu, ndama mliyekuwa mmetengeza, na kumchoma, kumpiga, kumweka chini kuwa mdogo, mpaka ilipokuwa laini kama vumbi. Nilirusha vumbi lake katika mkondo ambao ulitiririka chini kutoka mlimani.