sw_deu_text_reg/32/03.txt

1 line
206 B
Plaintext

\v 3 Kwa maana nitatangaza jina la Yahwe, na kumpatia ukuu Mungu wetu. \v 4 Mwamba, kazi yake ni kamili; kwa maana njia zake ni za haki. Yeye ni Mungu mwaminifu, hana udhalimu. Yeye ni wa haki na mwadilifu.