sw_deu_text_reg/28/67.txt

1 line
398 B
Plaintext

\v 67 Asubuhi utasema, “Natamani ingekuwa jioni! ” na jioni utasema, “Natamani ingekuwa asubuhi! ” kwa sababu ya hofu mioyoni mwenu na vitu ambavyo macho yako italazimu kuona. \v 68 Yahwe atakuleta Misri mara nyingine kwa meli, kwa njia ambayo nilikuambia, “Hutaiona Misri tena”. Kule utajitoa kuuzwa kwa maadui zako kama watumwa wa kiume na kike, lakini hakutakuwa na mtu wa kuwanunua.