sw_deu_text_reg/12/20.txt

1 line
186 B
Plaintext

\v 20 Wakati Yahwe Mungu wenu atapanua mipaka yenu, kama alivyowaahidi, na kusema, "Nitakula nyama," kwa sababu ya tamaa zenu mnakula nyama, mnaweza kula nyama, kama tanmaa za roho zenu.