sw_deu_text_reg/11/06.txt

1 line
293 B
Plaintext

\v 6 Hawajaona nini Yahwe alichofanya kwa Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu mwana wa Reubeni; namna dunia ilifungua kinywa chake na kuwameza, nyumba zao, mahema yao, na kila kitu hai kilichowafuata, katikati mwa Israeli yote. \v 7 Lakini macho yenu yameona kazi yote kuu ya Yahwe aliyoifanya.