sw_deu_text_reg/32/23.txt

1 line
229 B
Plaintext

\v 23 Nitarundia maafa juu yao; nitafyatua mishale yangu yote kwao; \v 24 Watapotea kwa njaa na kumezwa kwa joto liwakalo na uharibifu mchungu; nitatuma kwao meno ya wanyama wa mwituni, pamoja na sumu ya vitu vitambaao mavumbini.