sw_deu_text_reg/25/11.txt

1 line
243 B
Plaintext

\v 11 Iwapo wanamume wamepigana wao kwa wao, na mke wa mmoja wao kaja kumkomboa mumewe dhidi ya yule aliyempiga, naye akanyosha mkono wake na kumshika sehemu za siri, \v 12 basi unapaswa kuukata mkono yake; jicho lako halipaswi kuwa na huruma.