sw_deu_text_reg/11/13.txt

1 line
410 B
Plaintext

\v 13 Itatokea, kama mtazisikiliza kwa bidii amri zangu ambazo ninawaamuru leo kumpenda Yahwe Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho zenu zote, \v 14 kwamba nitawapa mvua nchi yenu kwa majira yake, mvua za awali na mvua za badaye, ili kwamba muweze kukusanya nafaka zenu, mvinyo wenu mpya, na mafuta yenu. \v 15 Nitawapa nyasi kwenye mashamba yenu kwa ajili ya mifugo yenu, na mtakula na kushiba.