sw_deu_text_reg/06/13.txt

1 line
319 B
Plaintext

\v 13 Mtamheshimu Yahwe Mungu wenu, yeye mtamwabudu, na mtaapa kwa jina lake. \v 14 Hamtawaendea miungu mingine, miungu ya watu wanaowazunguka wote- \v 15 kwa kuwa Yahwe Mungu wenu katikati yenu ni Mungu wa wivu- kama mtafanya, hasira ya Yahwe Mungu wenu atawasha dhidi yenu na atawaangamiza kutoka kwenye uso wa dunia.