sw_deu_text_reg/06/06.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 6 Maneno ninayowaamuru ninyi leo yatakuwa katika moyo wenu; \v 7 na mtayafundisha kwa bidii kwa watoto wenu, mtayazungumza wakati mkaapo katika nyumba zenu, wakati mlalapo, na wakati mwinukapo.