sw_deu_text_reg/02/01.txt

1 line
263 B
Plaintext

\v 1 Kisha tuligeuka na kuanza safari kuelekea jangwani kwa njia ya Bahari ya Mianzi, kama Yahwe alivyosema nami, tulienda kuzunguka mlima wa Seir kwa siku nyingi. \v 2 Yahwe alizungumza nami, kusema, \v 3 Mmeuzungunga mlima huu kwa muda mrefu; geukeni kaskazini.