sw_deu_text_reg/07/17.txt

1 line
391 B
Plaintext

\v 17 Kama mtasema kwenye mioyo, Haya mataifa ni mengi zaidi kuliko mimi; nitawezaje kuwafukuza? \v 18 Usiwaogope; utakumbuka akilini kile Yahwe Mungu wenu alifanya kwa Farao na Misri yote? \v 19 Mateso makuu ambayo macho yenu yaliona, ishara, maajabu, mkono wa uweza, mkono ulionyoshwa ambao Yahwe Mungu wenu alivyowatoa. Yahwe Mungu wenu atafanya kile kile kwa watu wote ambao mnawaogopa.