sw_deu_text_reg/04/23.txt

1 line
271 B
Plaintext

\v 23 Zingatia ninyi wenyewe, ili kwamba msisahau agano la Yahwe Mungu wenu, alilolifanya pamoja nanyi, na kujichongea mfano wa sanamu katika uombo la kitu chochote ambacho Yahwe Mungu wenu amewakataza kufanya. \v 24 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni moto ulao, Mungu wa wivu.