diff --git a/27/01.txt b/27/01.txt index eabc842..7f049d7 100644 --- a/27/01.txt +++ b/27/01.txt @@ -1 +1 @@ -\c 27 \v 1 Musa na wazee wa Israeli waliwaamuru watu na kusema, “Zishikeni amri zote ninazowaamuru leo. \v 2 Katika siku mtakapopita juu ya Yordani kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapatia, mnapaswa kutengeneza mawe kiasi makubwa na kuyachapa kwa lipu. \v 3 Mnatakiwa kuyaandika juu yake maneno yote ya sheria hii pale mtakapovuka; ili muweze kwenda katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia, nchi inayotiririka kwa maziwa na asali, kama Yahwe, Mungu wa mababu zenu, alivyowaahidi. \ No newline at end of file +\c 27 \v 1 Musa na wazee wa Israeli waliwaamuru watu na kusema, “Zishikeni amri zote ninazowaamuru leo. \v 2 Katika siku mtakapopita juu ya Yordani kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapatia, mnapaswa kutengeneza mawe kiasi makubwa na kuyachapa kwa lipu. \v 3 Mnatakiwa kuyaandika juu yake maneno yote ya sheria hii pale mtakapovuka; ili muweze kwenda katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapatia, nchi inayotiririka kwa maziwa na asali, kama Yahwe, Mungu wa mababu zenu, alivyowaahidi. \ No newline at end of file