sw_deu_text_reg/27/11.txt

1 line
216 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 11 Musa aliwaamuru watu siku hiyo hiyo na kusema, \v 12 “Makabila haya yanapaswa kusimama katika mlima Gerizimu kuwabariki watu baada ya nyinyi kuvuka Yordani; Simeoni, Lawi, Judah, Isakari, Yusufu na Benyamini.