sw_deu_text_reg/32/28.txt

1 line
176 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 28 Kwa maana Israeli ni taifa linalopungukiwa na hekima, na hakuna ufahamu ndani mwao. \v 29 Ah laiti wangekuwa na hekima, wangeelewa hili, na kuzingatia ujio wa hatima yao!