sw_deu_text_reg/29/02.txt

1 line
376 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 2 Musa aliwaita Waisraeli wote na kuwaambia, “Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri kwa Farao, kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote \v 3 mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona, ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa. \v 4 Lakini mpaka leo Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia.