1 line
295 B
Plaintext
1 line
295 B
Plaintext
|
\v 12 Lakini inawezekanaje mimi peke yangu kubeba shehena zako, mizigo yako, na migogoro yako? \v 13 Chukua wanaume wa hekima, wanaume waelewa, na wanaume walio na sifa nzuri toka kila kabila, nitawafaya kuwa vichwa juu yenu. \v 14 Mlinijibu na kusema, 'Jambo ulilolisema ni zuri kwetu kufanya.'
|