diff --git a/109/06.txt b/109/06.txt index 1d67058..a074cec 100644 --- a/109/06.txt +++ b/109/06.txt @@ -1 +1 @@ - \v 6 Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume. \7 Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi. 8 Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine. 9 Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane. 10 Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia. 11 Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake. 12 Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake. 13 Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho. 14 Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike. 15 Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani. 16 Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo. 17 Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake. 18 Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake. 19 Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku. 20 Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu. \ No newline at end of file +\v 6 Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume. \v 7 Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi. \ No newline at end of file diff --git a/109/08.txt b/109/08.txt new file mode 100644 index 0000000..9a5e269 --- /dev/null +++ b/109/08.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 8 Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine. \v 9 Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane. \v 10 Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia. \ No newline at end of file diff --git a/109/11.txt b/109/11.txt new file mode 100644 index 0000000..f03b506 --- /dev/null +++ b/109/11.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 11 Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake. \v 12 Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake. \v 13 Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho. \ No newline at end of file diff --git a/109/14.txt b/109/14.txt new file mode 100644 index 0000000..ca2be3a --- /dev/null +++ b/109/14.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 14 Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike. \v 15 Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani. \v 16 Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo. \ No newline at end of file diff --git a/109/17.txt b/109/17.txt new file mode 100644 index 0000000..9b03e60 --- /dev/null +++ b/109/17.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 17 Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake. \v 18 Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake. \ No newline at end of file diff --git a/109/19.txt b/109/19.txt new file mode 100644 index 0000000..a0a78ca --- /dev/null +++ b/109/19.txt @@ -0,0 +1 @@ +\19 Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku. 20 Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu. \ No newline at end of file