Wed May 10 2023 04:27:30 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
993bd5b8bf
commit
97f9cc5e0a
1
103/17.txt
Normal file
1
103/17.txt
Normal file
@ -0,0 +1 @@
|
||||
\v 17 Lakini agano la uaminifu wa Yahwe uko kwa wale wamchao yeye milele hata milele. Haki yake ni endelevu kwa uzao wao. \v 18 Wanashika agano lake na kukumbuka kutii maagizo yake. \v 19 Yahwe ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, na ufalme wake watawala juu ya kila mtu.
|
1
103/20.txt
Normal file
1
103/20.txt
Normal file
@ -0,0 +1 @@
|
||||
\v 20 Msifuni Yahwe, enyi malaika zake, ninyi hodari wenye nguvu na mtendao neno lake, na kutii sauti ya neno lake. \v 21 Msifuni Yahwe, enyi jeshi la malaika wote, ninyi ni watumishi mfanyao mapenzi yake. \v 22 Msifuni Yahwe, viumbe wake wote, mahali popote atawalapo. Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote.
|
1
104/01.txt
Normal file
1
104/01.txt
Normal file
@ -0,0 +1 @@
|
||||
\c 104 \v 1 Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote, Ewe Yahwe Mungu wangu, wewe ni mkubwa sana; umevikwa kwa utukufu na enzi. \v 2 Unajifunika mwenyewe kwa nuru kama kwa mavazi; umetandaza mbingu kama pazia za hema. \v 3 Umeweka mawinguni mihimili ya vyumba vyako; huyafanya mawingu gari lako; hutembea juu ya mbawa za upepo.
|
1
104/04.txt
Normal file
1
104/04.txt
Normal file
@ -0,0 +1 @@
|
||||
\v 4 Yeye huufanya upepo kuwa wajumbe wake, miale ya moto kuwa watumishi wake. 5 Aliiweka misingi ya nchi, nayo haitahamishwa kamwe
|
1
104/title.txt
Normal file
1
104/title.txt
Normal file
@ -0,0 +1 @@
|
||||
Sura 104
|
@ -358,6 +358,10 @@
|
||||
"103-06",
|
||||
"103-09",
|
||||
"103-11",
|
||||
"103-14"
|
||||
"103-14",
|
||||
"103-17",
|
||||
"103-20",
|
||||
"104-title",
|
||||
"104-01"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
x
Reference in New Issue
Block a user