diff --git a/52/03.txt b/52/03.txt new file mode 100644 index 0000000..1ffc12e --- /dev/null +++ b/52/03.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 3 Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganyifu kuliko kuongea haki. Sela \ No newline at end of file diff --git a/52/04.txt b/52/04.txt new file mode 100644 index 0000000..2111a04 --- /dev/null +++ b/52/04.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 4 Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu. \v 5 Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. Sela \ No newline at end of file diff --git a/52/06.txt b/52/06.txt new file mode 100644 index 0000000..c8aac99 --- /dev/null +++ b/52/06.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 6 Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema, \v 7 "Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine." \ No newline at end of file diff --git a/52/08.txt b/52/08.txt new file mode 100644 index 0000000..e949367 --- /dev/null +++ b/52/08.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 8 Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele. \v 9 Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa watu wako wa kimungu. \ No newline at end of file diff --git a/53/title.txt b/53/title.txt new file mode 100644 index 0000000..b80f4cd --- /dev/null +++ b/53/title.txt @@ -0,0 +1 @@ +Sura 53 \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index d86ae39..b935607 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -271,6 +271,11 @@ "51-14", "51-17", "52-title", - "52-01" + "52-01", + "52-03", + "52-04", + "52-06", + "52-08", + "53-title" ] } \ No newline at end of file