Fri Apr 28 2023 13:01:06 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
734dd436a0
commit
652e49654b
|
@ -0,0 +1,3 @@
|
|||
\c 101 Zaburi ya Daudi. \v 1 Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa. 2 Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu. 3 Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami. 4 Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu. 5 Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi. 6 Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia. 7 Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu. 8 Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.
|
||||
|
||||
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 101
|
|
@ -32,6 +32,10 @@
|
|||
}
|
||||
],
|
||||
"parent_draft": {},
|
||||
"translators": [],
|
||||
"finished_chunks": []
|
||||
"translators": [
|
||||
"nicholuskombo"
|
||||
],
|
||||
"finished_chunks": [
|
||||
"101-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue