forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'heb/12/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
540f0c2c5a
commit
fb98b9058a
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Waebrania 12 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na mpangilio
|
||||
|
||||
Baada ya kuwafundisha watu umuhimu wa adhabu, mwandishi anaanza mfuatano ya mahubiri. (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/exhort).
|
||||
|
||||
Watafsiri wengine wameweka kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 12:5-6, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Nidhamu
|
||||
|
||||
Mungu anataka watu wake kutenda yaliyo mema.Wakifanya kile hakipendi, anatakikana kuwarekebisha ama kuwadhibu. Yeye hufanya hivi jinsi baba wa duniani huwarekebisha na kuwadhibu watoto wao wanaowapenda. (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/discipline)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Hebrews 12:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../11/intro.md) | [>>](../13/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue