From f2cf603ac507a8073b7918ae28eb61239d91e449 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: Rick Date: Wed, 9 Jun 2021 18:55:05 +0000 Subject: [PATCH] Add 'rev/08/Intro.md' --- rev/08/Intro.md | 23 +++++++++++++++++++++++ 1 file changed, 23 insertions(+) create mode 100644 rev/08/Intro.md diff --git a/rev/08/Intro.md b/rev/08/Intro.md new file mode 100644 index 0000000..bf3504b --- /dev/null +++ b/rev/08/Intro.md @@ -0,0 +1,23 @@ +# Ufunuo 08 Maelezo ya jumla + +### Dhana muhimu katika sura hii + +#### Mihuri saba + +Kuna kutoelewana kuhusu jinsi mihuri hii imeambatanishwa kwenye kitabu.Ingekuwa ya kueleweka iwapo iliwekwa upande upande lakini kitabu kingeonyesha kilichomo baada ya muhuri wa mwisho kuvunjwa. Hivi sivyo sura hii inafafanua kitabu kwa sababu kila muhuri unafunua hukumu fulani. Inaaminika pia kwamba kutokuwepo kwa muhuri wa saba kunafunua baragumu saba za hukumu.(Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/judge]] na [[rc://en/ta/man/translate/writing-apocalypticwriting) + +### Mifano muhimu ya usemi + +#### Sauti ya kupita + +Sauti ya kupita imetumika mara nyingi katika sura hii kuficha utambulisho wa anayefanya hilo tendo. Itakuwa ngumu kuakilisha hili iwapo lugha ya mtafsiri haina sauti ya kupita. (Tazama:rc://en/ta/man/translate/figs-activepassive) + +#### Mifano + +Mwandishi anatumia mifano nyingi. Hii ni kwa sababu anajaribu kufafanua mifano anayoona kwenye maono. Kwa hivyo analinganisha mifano katika maono haya na vitu vya kawaida. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-simile) + +## Links: + +* __[Revelation 08:01 Notes](./01.md)__ + +__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__ \ No newline at end of file