forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'mat/28/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
5d1d578c64
commit
e9a27febd2
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Mathayo 28 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### "Wafanye wanafunzi"
|
||||
|
||||
Aya mbili za mwisho (Mathayo 28:19-20) zinajulikana kama "Tume Kubwa" kwa sababu zina amri muhimu sana iliyotolewa kwa Wakristo wote. Wakristo wanapaswa "wafanye wanafunzi" kwa kwenda kwa watu, kuwapa injili na kuwafundisha kuishi kama Wakristo.
|
||||
|
||||
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Malaika wa Bwana
|
||||
|
||||
Mathayo, Marko, Luka, na Yohana wote waliandika juu ya malaika waliovalia nguo nyeupe wakiwa pamoja na wanawake kwa kaburi la Yesu. Waandishi wawili kati yao waliwaita wanaume, lakini ni kwa sababu tu malaika walikuwa katika hali ya kibinadamu. Waandishi wawili waliandika kuhusu malaika wawili, lakini waandishi wengine wawili waliandika juu ya moja tu. Ni bora kutafsiri kila moja ya vifungu hivi kama inavyoonekana katika ULB bila kujaribu kufanya vifungu vyote kufanana. (Angalia: Mathayo 28:1-2, Marko 16: 5 na Luka 24: 4 na Yohana 20:12)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Matthew 28:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../27/intro.md) | __
|
Loading…
Reference in New Issue