forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'rom/03/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
b1333952ab
commit
df7e5c5e5f
|
@ -0,0 +1,29 @@
|
|||
# Warumi 03 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na upangiliaji
|
||||
|
||||
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwenye upande wa kulia zaidi ya maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hili kwa mistari ya 4 na 10-18 ya sura hii, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
Sura ya 3 hujibu swali hili, "Ni faida gani kuwa Myahudi dhidi ya kutokuwa Myahudi?" (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
|
||||
|
||||
#### "Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu"
|
||||
|
||||
Kwa sababu Mungu ni mtakatifu, yeyote aliye pamoja naye mbinguni lazima awe mkamilifu. Dhambi lolote litamhukumu mtu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/heaven]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/condemn)
|
||||
|
||||
#### Kusudi la sheria ya Musa
|
||||
|
||||
Kutii sheria haiwezi kumfanya mtu awe na haki kwa Mungu. Kutii sheria ya Mungu ni njia ambayo mtu anaonyesha kuwa anamwamini Mungu. Watu daima wamekuwa wenye haki kwa imani tu.
|
||||
|
||||
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Maswali ya uhuishaji
|
||||
|
||||
Mara kwa mara Paulo hutumia maswali ya uhuishaji katika sura hii. Inaonekana nia ya maswali haya ya uhuishaji ni kumfanya msomaji kuona dhambi zake ili atamtegemee Yesu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/guilt)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Romans 03:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue