forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'act/28/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
f25647f6af
commit
dc7941dfdd
|
@ -0,0 +1,25 @@
|
|||
# Matendo 28 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na Mpangilio
|
||||
|
||||
Hakuna anayefahamu ni kwa nini Luka anamaliza habari hii bila kuwaambia watu kilichomtendekea Paulo baada ya yeye kuwa Roma kwa miaka miwili.
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### "Barua" na "Ndugu"
|
||||
|
||||
Viongozi wa Wayahudi walishangaa kwamba Paulo alitaka kuzungumza nao kwa vile hawakuwa wamepokea barua kutoka kwa kuhani mkuu Yerusalemu kusema kwamba Paulo alikuwa anakuja.
|
||||
|
||||
Wakati viongozi wa Wayahudi walipozungumza kuhusu "ndugu" walimaanisha Wayahudi wenzao na sio Wakristo.
|
||||
|
||||
### Matatizo mengine ya utafsiri katika sura hii.
|
||||
|
||||
#### " Alikua mungu"
|
||||
|
||||
Wenyeji waliamini ya kwamba Paulo alikuwa mungu, lakini hawakuamini kwamba alikuwa Mungu wa kweli. Hatujui ni kwa nini Paulo hakuwaambia wenyeji kwamba hakuwa Mungu.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Acts 28:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../27/intro.md) | __
|
Loading…
Reference in New Issue