forked from WA-Catalog/sw_tn
Add '2co/02/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
4de1e8e6ac
commit
cbf82c6061
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# 2 Wakorintho 02 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Dhana maalum
|
||||
|
||||
#### Uandishi wa hasira
|
||||
|
||||
Katika sura hii, Paulo anaelezea barua aliyowaandikia Wakorintho hapo awali. Barua hiyo ilikuwa na sauti kali na ya kurekebisha. Paulo labda aliandika barua hiyo baada ya barua inayojulikana kama Wakorintho wa Kwanza na kabla ya barua hii. Anasema kuwa kanisa lilipaswa kumkemea mwanachama mkosaji. Paulo sasa anawahimiza kuwa na neema kwa mtu huyo. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
|
||||
|
||||
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Harufu
|
||||
|
||||
Harufu nzuri inapendeza. Maandiko mara nyingi hueleza mambo ambayo yanampendeza Mungu kama kuwa na harufu nzuri.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[2 Corinthians 02:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue