forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'rev/18/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
d4527ce306
commit
a84a2df9d1
|
@ -0,0 +1,25 @@
|
|||
# Ufunuo 18 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na mpangilio
|
||||
|
||||
Sura ya 19 itaendeleza mambo yaliomo kwenye sura hii na sura zote zichukuliwe kama kipengele kimoja.
|
||||
|
||||
Tafsiri zingine zinaingiza ndani kidogo msitari wa ushairi ili isomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ulioko katika 19:1-8
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Unabii
|
||||
|
||||
Malaika anapeana unabii kuhusu kuanguka kwa Babeli. Inazungumziwa kana kwamba ishatokea ingawa haijatokea. Hii ilikuwa ni kawaida katika unabii na unasisitiza kutokuepuka kwa hukumu ijayo. Inatabiriwa pia watu wataomboleza kuanguka kwa Babeli. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet]], [[rc://en/tw/dict/bible/kt/judge]] na [[rc://en/ta/man/translate/writing-apocalypticwriting)
|
||||
|
||||
### Tamathali muhimu sa usemi katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Mifano
|
||||
|
||||
Mifano mara nyingi hutumiwa katika unabii. Sura hii inaachana kidogo na mfumo wa kiapokalipti wa kitabo hiki cha Ufunuo. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Revelation 18:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../17/intro.md) | [>>](../19/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue