forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'heb/08/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
069849b478
commit
a2bb580ae5
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Waebrania 08 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na mpangilio
|
||||
|
||||
Mwandishi anamalizia kwa kufafanua jinsi gani na ni kwa nini Yesu ndiye kuhani mkuu muhumu. Halafu anaanza kuzungumzia jinsi agano jipya ni bora kuliko agano Mungu alifanya na Musa. (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/covenant)
|
||||
|
||||
Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 8:8-12, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii.
|
||||
|
||||
#### Agano jipya
|
||||
|
||||
Mwandishi anaelezea jinsi Yesu ameanzisha agano jipya ambalo ni bora kuliko agano Mungu alianzisha na wana wa Israeli. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/covenant)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Hebrews 08:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue