forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'mrk/10/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
8fe28148a0
commit
8b34a838f9
|
@ -0,0 +1,29 @@
|
|||
# Marko 10 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na upangiliaji
|
||||
|
||||
Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwenye Agano la Kale kwa upande wa kulia zaidi kuliko maandishi yote. ULB inafanya hivyo kwa nukuu zilizotajwa katika 10:7-8.
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Mafundisho ya Yesu kuhusu talaka
|
||||
|
||||
Mafarisayo walitaka kutafuta njia ya kumlazimisha Yesu aseme kwamba ni vizuri kuvunja sheria ya Musa, hivyo wakamwuliza kuhusu talaka. Yesu anaelezea jinsi Mungu aliyepanga ndoa kwa mwanzo, kwa kuonyesha kosa la mafundisho ya talaka ya Mafarisayo.
|
||||
|
||||
### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Mfano
|
||||
|
||||
Wasemaji hutumia mifano kama picha ya vitu vinavyoonekana kwa kueleza ukweli usiyoonekana. Wakati Yesu aliposema juu ya "kikombe nitakachokunywa," alikuwa akizungumzia juu ya maumivu atakapoteswa nayo msalabani kuwa mfano wa kinywaji ya uchungu na sumu katika kikombe.
|
||||
|
||||
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Kitendawili
|
||||
|
||||
Kitendawili ni taarifa ya kweli inayoonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Yesu anatumia kitendawili wakati anasema, "Yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu lazima awe mtumishi wenu" (Marko 10:43).
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Mark 10:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../09/intro.md) | [>>](../11/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue